Wafanyakazi Wanawake DUWASA watoa misaada mbalimbali katika Shule ya Kigwe Vizuri Bahi

Na Barnabas Kisengi Bahi Dodoma Kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 08. 2023 wafanyakazi wanawake wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), wametoa msaada wa magodoro, sabuni, taulo za kike, mafuta na nguo katika shule ya Msingi ya Kingwe Viziwi iliyopo Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma. Wafanyakazi hao